Quantcast
Channel: Francis Godwin ::Mzee wa matukio daima::
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2596

WADAU WANGU MIMI NI MZIMA WA AFYA SI KWELI KAMA NIMEKUFA

$
0
0
Ndugu zangu na  wadau  wangu  wa mtandao  wa www.francisgodwin.blogspot.com na www.matukiodaima.com awali  ya  yote  napenda  kuchukua nafasi  hii  kuwatakia heri  ya Krismas na Mwaka mpya .

Awali ya  yote ninapenda  kutoa ufafanuzi juu ya  taarifa  zilizosambazwa mapema  leo kuanzia mida ya saa 4 asubuhi na moja kati ya mitandao  ya simu nchini kuwa  katibu wa CCM mkoa wa Iringa ndugu Francis Godwin amefariki  dunia aliyefariki  dunia ni katibu  wa CCM anaitwa Emanuel Mteming'ombe na sio mimi Francis Godwin wao  wamechukua katika mtandao wangu na badala ya kuandika chanzo cha habari ni Francis Godwin  wameandika mimi ndie  niliyefariki  dunia

Nimepokea  meseji  na simu nyingi  kutoka kwa wadau  wangu na ndugu  zangu wa karibu hivyo nimeamua  kutoa ufafanuzi huu ili kuondoa usumbufu  uliojitokeza .

Hivyo nawaombeni  radhi wote ambao mmeguswa na taarifa hii

imetolewa na Francis Godwin mkurugenzi mtendaji  wa kampuni ya Free Community Media's
0754 026 299

CHINI wale  walioguswa na taarifa hii kupitia pg yangu ya fb 
Habari za wakati huu wadau mimi ni mzima wa afya taarifa ya kuwa nimekufa mmezitoa wapi?ninapokea simu nyingi sana kuwa eti nimefariki dunia na mbaya zaidi mtu anapiga simu na kuongea na mimi huku akiniuliza eti amesikia nimekufa ni kweli? Duh kuishi na watu kazi



Viewing all articles
Browse latest Browse all 2596

Latest Images

Trending Articles