Mchezaji  Emanuel Okwi  aliyesajiliwa  hivi karibuni na Yanga  amepata  kuipatia  goli la  kufutia machozi  timu yake  ya Yanga dakika  za lala  salama katika  mchezo  wa  NANI MTANI JEMBE  uliopigwa katika  uwanja wa Taifa  jijini Dar es Salaam .
Simba  leo  wameonyesha  kuifundisha  soka  Yanga  baada ya  kutoa  kichapo cha haraka  haraka cha magoli mawili  yaliyofungwa na Hamis Tambwe  kipindi cha  kwanza na kipindi  cha pili  kuongeza  goli la tatu  .
hadi  sasa mpira  umekwisha  kwa Simba  kuibuka bingwa  wa mashindano  ya NANI MTANI JEMBE na  kuchukua  kombe la Nani mtani  jembeÂ
Huku mashabiki wa Yanga  wakiwarushia chupa  za maji wachezaji  wa simba  wakati  wakishangilia ushindi kwa  kupita karibu  na eneo  laoÂ
Simba  leo  wameonyesha  kuifundisha  soka  Yanga  baada ya  kutoa  kichapo cha haraka  haraka cha magoli mawili  yaliyofungwa na Hamis Tambwe  kipindi cha  kwanza na kipindi  cha pili  kuongeza  goli la tatu  .
hadi  sasa mpira  umekwisha  kwa Simba  kuibuka bingwa  wa mashindano  ya NANI MTANI JEMBE na  kuchukua  kombe la Nani mtani  jembeÂ
Huku mashabiki wa Yanga  wakiwarushia chupa  za maji wachezaji  wa simba  wakati  wakishangilia ushindi kwa  kupita karibu  na eneo  laoÂ