Quantcast
Channel: Francis Godwin ::Mzee wa matukio daima::
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2596
↧

HUU NI UCHAFU WA STENDI YA NJOMBE JIMBONI KWA SPIKA MAKINDA

$
0
0



Hali  ya  stendi  kuu ya  mkoa  wa  Njombe  ilivyo kwa  sasa wakati mvua  kubwa ikiendelea  kunyesha  kweli  hii si  stendi  ni uchafu  wa  stendi  kwani  ni mbovu  kuliko ikumbukwe  kuwa  stendi hii ipo  jimbo la Njombe  kusini  linaloongozwa na  spika  wa bunge  Anne Makinda 

Swali  langu  kwa  mhandisi  wa mji  wa Njombe na  viongozi  Njombe hivi  hawaoni kero  hii na  upi mkakati  wao  wa  kutengeneza stendi hii ambayo ni taswira  ya  mkoa  pia  spika Makinda anajisikiaji  kuwa na stendi mbovu kama  hii.

Nipo mjini  Njombe kwa  dakika  zaidi  ya 20  sasa  nashindwa  kushuka katika basi  kutokana na mvua  kubwa  zinazonyesha na ubovu wa stendi  hii maji yamejaa kupita  kiasi.
↧

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2596

Latest Images

Trending Articles