Quantcast
Channel: Francis Godwin ::Mzee wa matukio daima::
Browsing all 2596 articles
Browse latest View live
↧

WADAU TAZAMENI STAR TV SASA KUNA MNYUKANO MKALI KATI YA NAPE NA MTATILO

MADA  inayojadiliwa  ni baada ya  uteuzi  wa  mawaziri  wanne  kutenguliwa  tutegemee  nini katika  serikali ? kuna lugha  gongana  zinaendelea  hapo  kati ya NAPE (CCM) Mtatilo (CUF) Pia  waweza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVUMILIVU KATIKA SOKA BAADA YA DAKIKA 90 UHESHIMIKE ,MTANI JEMBE ALETA MANENO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATOKEO MAZURI YA UFAULU SHULE YA SOUTHERN HIGHLANDS MAFINGA YALIVYOIVUTIA...

  Mkurugenzi  wa shule  ya kimataifa  ya  Southern Highlands Mafinga  Bi Mary  Mungai akimkabidhi  cheti mmoja kati ya  wahitimu wa mahafali ya 13  shule  hapo ,kulia  kwake ni kaimu meneja  wa Benk ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI IRINGA KUWACHUKULIA HATUA KALI WAFANYABISHARA WATAKAO PANDISHA BEI...

                                RC Iringa Dr Christine  IshengomaMkuu wa mkoa  wa  Iringa  Dr Christine  Ishengoma ametuma  salama  kali za  Krismas na Mwaka  mpya kwa   wafanyabiashara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKANDARASI GEOFREY MUNGAI ACHUMA BARAKA ZA YATIMA ,AWAPA SOMO MAKANDARASI...

Mkandarasi  Geofrey  Mungai  kushoto  akila  chakula  na  watoto  yatima  wa  kituo  cha DBL mkimbizi  sanjari na mganga Oscar Gabone  kulia.MKANDARASI  Geofrey  Mungai  ameendelea  kujitolea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GEOFREY MUNGAI ATOA ZAWADI ZA TSH MILIONI 2.5 KWA YATIMA WA KITUO CHA DBL KWA...

Bw Mungai  akizungumza na mlezi  wa  kituo  hicho  cha DBL Mchungaji Neema Mwaisumbi mara  baada ya  hafla  hiyo Mmiliki wa  Hotel ya M.R Bw  Luvinga  akipongeza jitihada za Bw Mungia  katika  kusaidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKOSE KUSIKIA KAULI YA FAMILIA YA WAZIRI WA FEDHA JUU YA UVUMI WA KIFO...

 Mh.Dr  Wiliam Mgimwa..............................................................Mpendwa  mdau  wa  mtandao   huu leo mtandao  huu utakueletea  kauli  sahihi ya  familia  juu ya taarifa   sahihi  ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTANGAZAJI WA KIPINDI CHA MBONI SHOW KULISHA YATIMA IRINGA

Mtangazaji  maarufu  wa kipindi cha Mboni Show kinachorushwa na  kituo  EATV  Bi Mboni A .Masimba anataraji  kula  sikukuu ya Krismas na mwaka  mpya  na  watoto   yatima mkoani Iringa .  Akizungumza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA FAMILIA YA WANA SPANEST YANONGA IRINGA

 Wafanyakazi  wa SPANEST  na familia  zao  wakicheza  muziki  baada ya mnuso  Wafanyakazi  wa APANEST  Iringa  wakiwa na familia  zao jana  Keki  ya  wana familia   Wadau  mbali  mbali na familia  zao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL , BARAZA LA USALAMA BARABARANI KUHAMASISHA USALAMA WAKATI HUU WA SIKUKUU

 Balozi wa kampeni za Usalama barabarani, Bw. Athumani Hamisi akizungumzia athari zinazotokana na ajali za barabarani na kuwaasa wananchi waziepuke hususani katika msimu huu wa sikukuu.Meneja wa huduma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE -NITAPAMBANA KUTETEA UANACHAMA WANGU

Kwa upinzani ni lazima tufanye tofauti na CCM. Tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za umma kwa upinzani ni mbaya zaidi kuliko. Hivyo uwajibikaji kwa wote bila kujali vyama. Uwajibikaji sio msamiati kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHOLAGE AFUNGA SEMINA YA UVCCM MABIBO, WAMKABIDHI PICHA ZA NAPE, DK. FENELLA...

 MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Kata ya Mabibo, wilaya ya Kinondoni, Zakaria Kimemeneki (kulia), akikabidhi zawadi ya picha ya Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, kwa Katibu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWSSSSSS WAZIRI WA FEDHA DR MGIMWA HAJAFARIKI DUNIA -FAMILIA

                                                     Waziri wa fedha  Dr Wiliam Mgimwa  Mdogo  wa waziri  Dr  Mgimwa   Bw Joachim Mgimwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOMU LA UFISADI LALIPUKA MANISPAA YA IRINGA ,VIJANA WADAIWA KUKUSANYA MAPATO...

wananchi   wakitazama  gari  la  mmoja kati  ya  wafanyabiashara  mjini  Iringa  ambalo  lilifungwa mnyololo na vijana  hao wa kusimamia sheria  ya maegesho na kusababisha  gari hilo  kutoboka  taili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUNAWATAKI HERI YA KRISMAS NA MWAKA MPYA 2014

Wafanmyakazi  na  uongozi  wa mtandao  huo na kampuni nzima ya Freecomunity Midia's waendeshaji  wa mtandao  wa www.matukiodaima.com,FrancisGodwin Blogu,www.shwari.com...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HERI YA KRISMAS NA MWAKA MPYA 2014

Wafanmyakazi  na  uongozi  wa mtandao  huo na kampuni nzima ya Freecomunity Midia's waendeshaji  wa mtandao  wa www.matukiodaima.com,FrancisGodwin Blogu,www.shwari.com...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NI UCHAFU WA STENDI YA NJOMBE JIMBONI KWA SPIKA MAKINDA

Hali  ya  stendi  kuu ya  mkoa  wa  Njombe  ilivyo kwa  sasa wakati mvua  kubwa ikiendelea  kunyesha  kweli  hii si  stendi  ni uchafu  wa  stendi  kwani  ni mbovu  kuliko ikumbukwe  kuwa  stendi hii...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FILIKUNJOMBE , KANISA WATUMA SALAM ZA KRISMAS KWA JK

KANISA  la Anglicana   Ilela kata  ya  Ilela wilaya ya  Ludewa  mkoani  Njombe  limetuma  salam  za krismas  na mwaka mpya  kwa  Rais  Jakaya  Kikwete  kwa  kumpongeza kwa  kumaliza mgogoro  wa mpaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PAPA FRANCIS ATETEA WANYONGE WA VITA

Katika hotuba yake ya mwanzo ya Krismasi, Papa Francis amezungumza mjini Rome juu ya maeneo ya vita duniani.Alitoa wito kwa pande zote zilizohusika na vita vya Syria ziruhusu msaada kufika kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBONI AJUMUIKA NA WATOTO YATIMA MKOANI IRINGA KUSHEREKEA SIKUKU YA CHRISMAS

Mtangazaji  maarufu  wa kipindi cha Mboni Show kinachorushwa na  kituo  EATV  Bi Mboni A .Masimba anataraji  kula  sikukuu ya Krismas na mwaka  mpya  na  watoto   yatima mkoani Iringa . Akizungumza na...

View Article
Browsing all 2596 articles
Browse latest View live